Smart Agro Solutions Limited

Suluhisho kwa Ulimwengu Unaopanda na Kukua

Mbegu • Mbolea • Chakula cha Mifugo • Ushauri Sahihi • Usimamiza wa Mashamba • Matrekta • Baada ya Mavuno

Kila kitu mkulima wa Tanzania anachohitaji ili kupanda zaidi na kupata faida zaidi.

Piga / WhatsApp 0763 042 118 Nunua Mtandaoni Sasa
Photo by Austin Santaniello on Unsplash

Tunachokifanya kwa Uzuri

Maduka ya Smart Agro

Pembejeo bora pamoja na ushauri wa wataalamu bila malipo huko Morogoro, Mbeya na Songwe.

Mbolea & Afya ya Udongo

Urea, DAP, NPK, CAN, Booster, Chokaa mazao & mbolea za asili — vyote vinapatikana pamoja naushauri wa bure.

Ushauri wa Kilimo Sahihi

Upimaji udongo, uchunguzi wa shamba na mipango ya mbolea – huongeza mavuno kwa 30–40 %.

Technonojia za Kupandia

• Wakala wa kuuza matrekta
• Wakala wa CHCNAV - NX612 Precision Automated Steering System
– zinapatikana nchi nzima.

Usimamizi wa Mashamba

Mipango salama ya wakulima kusimamiwa uzalishaji kwenye masamba yao.

Bidhaa za Baada ya Mavuno

Mifuko • Kamba • Maturubai • Wanunuzi bora.

Tembelea Duka la Karibu Yako

MOROGORO

Kilosa mjini karibu na
Happy Oil Filling Station, Njia Panda
+255 76 304 2118

MBEYA

Mwambene Junction
Maduka Mapya
+255 67 557 0792/ +255 74 856 8027

SONGWE

Msongwa
Tunduma
+255 76 304 2118

Photo by James Baltz on Unsplash

Maduka ya Mtandaoni

Duka la Mtandaoni (Mbeya)

Fungua Orodha Kamili

Wakulima, Msimu Unaanzia Kwetu

Tembelea duka lolote la Smart Agro leo kwa bei nzuri na ushauri sahihi. Utasimulia.

WhatsApp Sasa→ +255 76 304 2118

Kuhusu Smart Agro Solutions Limited

Smart Agro Solutions Limited ni kampuni iliyosajiliwa Tanzania kwa ajili ya wakulima wa Tanzania. Tunatoa pembejeo bora, ushauri wa kilimo na usimamizi wenye tija wa mashamba.

Dhamira: Suluhisho za kilimo cha kisasa, cha uhakika na chenye faida.
Dira: Tanzania ya kisasa yenye chakula cha kutosha inayotegemea wakulima waliofanikiwa.

WhatsApp Icon